Wakurugenzi wa Halmashauri za Misungwi, Sengerema kupanda ‘kizimbani’
Sunday May, 2012KUFUATIA kuwepo kwa tuhuma nzito za ubadhilifu wa fedha za miradimbali mbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza, imeelezwa kwamba, Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Xavier Tilweselekwa ameshushwa cheo na inadaiwa kesho atafikishwa mahakamani!
Mkurugenzi Magu akiri kulipa mishahara marehemu
Sunday May, 2012Mishahara hii ilikuwa ikiingizwa benki ya NMB tawi la hapa Magu. Baada ya kuingizwa ilikuwa ikitolewa na baadhi ya watumishi wetu kwa kushirikiana na wale wa benki wasiowaaminifu…
Askofu Laizer awabeza wanaolia kukosa Uwaziri na U-DC
Saturday May, 2012“Maneno mengi ya nini? Taratibu zinatoa mamlaka kwa Rais kufanya mabadiliko ya ma-DC na Mawaziri, na hapaswi hata kutoa sababu, sasa unaposema amekosea ama umeonewa, unaleta maneno mahali ambapo hakuna maneno,” alisema Askofu Laizer.
Mabadiliko makubwa yaja CCM, January kupata mrithi
Saturday May, 2012“Mwenyekiti atatoa taarifa kwa wajumbe wa CC mchana huu, kabla ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kitakachoanza Jumatatu. Tutarajie mabadiliko makubwa ndani ya CCM maana ameona akichelewa madhara yatakuwa makubwa zaidi,” anasema kiongozi wa CCM aliyeko Dodoma.
Ruvuma: Wanafunzi zaidi ya 500 wanasomea katika vibanda vya nyasi
Friday May, 2012Mwalimu Onesmo Mbawala alisema idadi kubwa ya wanafunzi wanasomea katika vibanda vya nyasi kutokana na shule yake kuwa na upungufu wa vyumba 12 vya kusomea ambapo vyumba vilivyopo ni vinne tu na kwamba shule hiyo iliyoanzishwa mwaka 1975 ina jumla ya wanafunzi 592.
Wanafunzi wanasoma kwa kugeuziana migongo Ruvuma
Thursday May, 2012WANAFUNZI 201 kuanzia darasa la tatu hadi la sita katika shule ya msingi Kidugalo kata ya Rwinga wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wanasoma katika vyumba viwili vya madarasa kwa kugeuziana migongo hali ambayo inachangia kushusha taaluma katika shule hiyo.
Majambazi wa DRC waua polisi wa Tanzania ziwani, JWTZ wajeruhiwa
Wednesday May, 2012ASKARI mmoja wa Tanzania amepoteza maisha baada ya kutokea mapigano katikati ya Ziwa Tanganyika kati ya majambazi yenye silaha toka nchi jirani na askari wa Tanzania wakiwamo polisi na wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).





Recent Comments