Fikra Pevu | Kisima cha busara!

Kisima cha busara!

Tunduru: Mwanafunzi mmoja tu ajiunga na Sekondari!

MWANAFUNZI mmoja tu kati ya wanafunzi wote 17 waliofaulu darasa la saba mwaka 2012 katika shule ya msingi Njenga iliyopo kilometa 80 kutoka mjini Tunduru mkoani  Ruvuma ndiye aliyejiunga na masomo ya sekondari ya Nalasi kidato cha kwanza mwaka huu . ...

Mlipuko Arusha: Idadi ya Watuhumiwa yafikia 12

IDADI ya watuhumiwa wa tukio la kulipua kanisa la mtakatifu Joseph Mfanyakazi kwa bomu, Mkoani Arusha, imezidi kuongezeka toka tisa hadi kufikia 12, kati yao majina tisa yametajwa na matatu bado ni siri kwa ajili ya uchunguzi, yumo mwendesha bodaboda. ...

Tanzania na Ushirikishwaji wa Wananchi katika Maendeleo ya Jamii

Katika maendeleo yoyote yale ili yawe endelevu na yenye manufaa kama kusudio lake lilivyopangwa, kuna vitu muhimu lazima kuzingataiwa likiwemo hili la ushirikishwaji (participation of community). ...

Kenyatta asisitiza kuendeleza ushirikiano EAC

Rais mpya wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesisitiza kuendeleza ushirikiano katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwani amesema ni moja ya nguzo muhimu katika kipindi cha utawala wake. ...

CHADEMA wamlipua Mwakyembe kwa ufisadi kama wa EPA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeibua tuhuma nzito za ufisadi wa mabilioni ya fedha, kikidai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), hasa kupitia makundi ya wasaka urais, kimeanza kutumia mbinu haramu kutafuna fedha za Watanzania kwa ajili ya kampeni za 2015, kwa namna ile ile iliyotumika kufanikisha wizi wa EPA, wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2005. ...

Tanzania: Ministry of Minerals permits land grabbing!

About 100,000 people in the four villages of Maganzo, Ikonongo, Songwa and Masagara cry foul to the Ministry of Energy and Minerals, Central-West Zone for issuing mining license to El Hilal Minerals Limited on a fraudulently acquired piece of land. ...

Mlima wa hifadhi wauzwa bila ridhaa ya wananchi!

MLIMA ambao umetengwa kwa ajili ya hifadhi ya msitu katika kijiji cha Nkali kata ya Liuli wilayani Nyasa mkoani Ruvuma umeuzwa na baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya kijiji hicho bila ridhaa ya wananchi. ...

Kuporomoka majengo Dar: Tumekwama, tumeshindwa!

Sherehe za pasaka ziliingia dosari hususan kwa wakazi wa Dar es Salaam kufuatia kuporomoka kwa jengo la ghorofa 16 mtaa wa Indira Gandhi katikati ya mji. Watu wengi wamejeruriwa na vifo vimefikia watu 36. ...

CCM tawi la Afrika Kusini yakanusha taarifa za kuhusishwa na utapeli…

Chama Cha Mapinduzi (CCM) tawi la Afrika kusini kupitia Mwenyekiti wake Ndugu, Kelvin Nyamori, kimetoa taarifa za kusikitishwa na Habari zilizochapishwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, (tovuti yetu dada, JamiiForums ikiwa mojawapo) juu ya utapeli uliofanywa na aliyekuwa katibu wa CCM wa tawi hilo, Ndugu Paul Pius Albino Mkoba, wenye thamani ya Shilingi Millioni 37 za Kitanzania (RAND 200,000) ...

Auawa kwa kuchinjwa na kuachanishwa kichwa na kiwiliwili; muuaji atembea na kichwa mtaani!

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mkazi mmoja wa mtaa wa Bugarika jijini Mwanza, Malimi Mathias ameuawa kikatili kwa kuchinjwa kisha kuachanishwa kichwa na kiwiliwili. ...

Usalama wa wanahabari na rushwa: Mjadala uliokwama

Leo tarehe 27 Machi 2013 ilikuwa siku nyingine ambapo wanahabari wameshindwa kufikia muafaka juu ya suala la usalama wao. Mjadala huu uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) lengo likiwa ni kutafuta mbinu ya kujilinda hususani baada ya kushambuliwa kwa mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda. Mada ilikuwa “Usalama wa Waandishi wa Habari Tanzania” ...

Page 1 of 391234567...Last »